Yanga yatinga robo fainali ASFC

Kikosi cha Yanga kilichocheza leo na Tanzania Prisons na kufanikiwa kutinga robo fainali ya kombe la shirikisho.

Klabu ya soka ya Yanga imetinga hatua ya robo fainali kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho la Azam Sports Federation Cup baada ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya waliokuwa wenyeji wao maafande wa Tanzania Prisons.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS