Utabiri mzito wa Peter wa P Square kutimia 2021

Msanii Peter Okoye 'Mr P'

Siku ya Mei 5, 2019 msanii kutoka nchini Nigeria aliyekuwa anaunda kundi la P-Square, Peter Okoye 'Mr P' alitabiri kwamba timu za Uingereza zitacheza fainali ya Klabu bingwa Ulaya ''UEFA Champions League'' pia zitacheza fainali ya "UEFA Europa League"

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS