Utabiri mzito wa Peter wa P Square kutimia 2021
Siku ya Mei 5, 2019 msanii kutoka nchini Nigeria aliyekuwa anaunda kundi la P-Square, Peter Okoye 'Mr P' alitabiri kwamba timu za Uingereza zitacheza fainali ya Klabu bingwa Ulaya ''UEFA Champions League'' pia zitacheza fainali ya "UEFA Europa League"