Wafanyabiashara walia na soko la Kimataifa
Serikali imeombwa kupitia Wizara ya Viwanda na Biashara kutoa vibali na kutengeneza mazingira ya wafanyabiashara wa mahindi kuuza katika masoko ya nje ambayo yameonyesha uhitaji mkubwa tofauti na ilivyo sasa wengine hupitisha kwa njia za panya.