VPL: Mbeya City Basi limewaka waichapa JKT 6-1

Mashabiki wa Mbeya City

Klaby ya Mbeya City imepanda kwa nafasi nne kwenye msimamo wa ligi kuu Tanzania bara baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 6 -1 dhidi ya JKT Tanzania, kwenye mchezo ulichezwa katika dimba la Sokoine jijini Mbeya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS