Matola achimba mkwara, lakini alia na uchovu Simba

Kocha msaidizi wa Simba, Selemeni Matola akiongea mbele ya Wanahabari baaada ya mchezo wa jana dhidi ya Dodoma Jiji.

Kocha msaidizi wa klabu ya Simba, Selemani Matola amesema kucheza michezo mingi mfululizo katika kipindi kifupi kimechangia kuwafanya wachezaji wake kucheza na hali ya uchovu jambo aliloliona kwenye mchezo wa usiku wa jana waliopata ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Dodoma Jiji.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS