Zidane afurahia matokeo ya sare, Tuchel anuna

Mshambuliaji wa Chelsea, Christian Pulisic akimtoka mlinda mlango wa Real Madrid ambapo alifanikiwa na kufunga bao la kwanza la Chelsea.

Mabingwa wa kihistoria ya michuano ya klabu bingwa barani Ulaya, Klabu ya Real Madrid imelazimishwa sare ya bao 1-1 dhidi ya Chelsea kwenye uwanja wake wa nyumbani kwenye mchezo wa mkondo wa kwanza wa nusu fainali ya michuano hiyo usiku wa kuamkia leo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS