Wanafunzi wa awali wanasoma kama chuo Kikuu
Mdau wa Elimu nchini Richard Mabala amesema kuna haja ya Serikali kupitia Wizara ya Elimu na idara zake mbalimbali kupitia upya mifumo ya elimu na ufundishaji ili kuiboresha kwa manufaa ya wanafunzi wanaopita kwenye mifumo hiyo.