BASATA watoa tamko sakata la video za Harmonize

Picha ya msanii Harmonize

Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limeingilia kati sakata la kusambazwa kwa video zisizo na maadili kwa msanii Harmonize kwa kutoa taarifa inayosema imesikitishwa na kitendo hicho kinachoendelea kwenye mitandao ya kijamii.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS