Bosi wa zamani wa TAKUKURU akwaa Urais TLS

Dkt. Edward Hoseah

Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kimefanya uchaguzi wa Rais ambapo Dkt. Edward Hoseah ameibuka mshindi wa nafasi hiyo kwa kupata kura 297 katika uchaguzi uliojaa ushindani mkali.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS