PSG na Bayern Munich ni vita bila Majeshi

Mshambuliaji wa PSG, Neymar Junior (kushoto) na Mshambuliaji wa Bayern Munich, Robert Lewandowski (kulia).

Bingwa mtetezi wa michuano ya ligi ya mabingwa barani Ulaya, klabu ya Bayern Munich na makamu bingwa wa michuano hiyo, klabu ya PSG wanataraji kuchuana vikali saa 4:00 usiku wa leo Aprili 13,2021 kwenye mchezo wa mkondo wa pili wa michuano hiyo huku Bayern akiwa ugenini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS