PSG na Bayern Munich ni vita bila Majeshi
Bingwa mtetezi wa michuano ya ligi ya mabingwa barani Ulaya, klabu ya Bayern Munich na makamu bingwa wa michuano hiyo, klabu ya PSG wanataraji kuchuana vikali saa 4:00 usiku wa leo Aprili 13,2021 kwenye mchezo wa mkondo wa pili wa michuano hiyo huku Bayern akiwa ugenini.