Neno la Mhe. Majaliwa kuhusu Hayati Magufuli

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesisitiza kwamba Serikali itaenzi na kuendeleza jitihada, maono na juhudi za aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano Hayati Dkt. John Pombe Magufuli hususan katika ulinzi wa rasilimali za Taifa pamoja na mapambano dhidi ya rushwa na ufisadi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS