Ruwasa ndio jawabu la matatizo ya maji 

Waziri wa Maji Juma Aweso

Waziri wa Maji Juma Aweso amekiri moja ya changamoto ya miradi ya maji ni usimamizi huku akisema uanzishwaji wa Wakala wa Maji Vijijini (RUWASA) umesaidia katika kutatua baadhi ya changamoto.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS