Mbunge wa Mtama Nape Nnauye (kushoto) akiwa na aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano Hayati Dkt. Magufuli alimpomtembelea Ikulu, Dar es salaam.
Mbunge wa Jimbo la Mtama Nape Nnauye amesema Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Dkt. John Magufuli atakumbukwa kwa mafunzo aliyoyaacha Tanzania, Afrika na Dunia nzima.