VPL raundi ya 25 yaanza kwa sare

Wachezaji wakiwania mpira kwenye moja ya mchezo wa ligi kuu Tanznaia bara

Michezo miwili ya ligi kuu soka Tanznaia bara raundi ya 25 imemaliza kwa timu kugawana alama, baada ya micho hiyo yote kumalizika kwa sare, Mchezo mmoja ulipigwa jijini mbeya na mwingine mkoani Lindi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS