Wachezaji wakiwania mpira kwenye moja ya mchezo wa ligi kuu Tanznaia bara
Michezo miwili ya ligi kuu soka Tanznaia bara raundi ya 25 imemaliza kwa timu kugawana alama, baada ya micho hiyo yote kumalizika kwa sare, Mchezo mmoja ulipigwa jijini mbeya na mwingine mkoani Lindi.