IGP Sirro aagiza operesheni dawa za kulevya 

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro amewaagiza Makamanda wa Polisi wa mikoa ya Mtwara, Lindi, Dar es Salaam, Tanga, Pemba pamoja na Unguja kisiwani Zanzibar kufanya operesheni ya pamoja kudhibiti makosa ya dawa za kulevya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS