Peter Msechu avunja ukimya, ajibu wanaomdhihaki

Picha ya msanii Peter Msechu akiwa na mkewe aliyembeba mtoto wao

Msanii wa BongoFleva Peter Msechu amenyoosha maelezo kwa baadhi ya watu wanaomshambulia mitandaoni kuhusu muonekano wake kwa kusema hawezi kubadilika na hiyo ndiyo brand yake pia haimuathiri kwa chochote.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS