Jadon Sancho awekwa sokoni
Mtendaji mkuu wa klabu ya Borussia Dortmund Hans-Joachim Watzke amesema watamuuza winga wao Jadon Sancho endapo kama kuna timu italeta ofa ya kutaka kumnunu mchezaji huyo, winga huyo raia wa Uingereza anatajwa kuwa na thamani ya pauni milioni 110.