Jadon Sancho awekwa sokoni

Jadon Sancho

Mtendaji mkuu wa klabu ya Borussia Dortmund Hans-Joachim Watzke amesema watamuuza winga wao Jadon Sancho endapo kama kuna timu italeta ofa ya kutaka kumnunu mchezaji huyo, winga huyo raia wa Uingereza anatajwa kuwa na thamani ya pauni milioni 110.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS