Msigwa ateuliwa kuwa Msemaji wa serikali

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, Kushoto ni Msemaji wa Mkuu Serikali, Gerson Msigwa.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemteua  Gerson Msigwa kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari na Msemaji Mkuu wa serikali.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS