''Nkana FC saizi yetu'' - Nahimana

Kikosi cha Namungo ya Ruangwa Lindi

Golikipa wa Namungo Jonathan Nahimana amesema ni lazima washinde katika mchezo wao ujao wa kombe la shirikisho dhidi ya Nkana FC ya Zambia, utakao fanyika katika uwanja wa Mkapa jijini Dar-es-Salaam Jumapili hii.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS