Guardiola kuhusu kusajili mbadala wa Aguero
Kocha wa Manchester City, Pep Guardiola amesema kwa sasa ni ngumu kumsajili mshambuliaji mpya kuziba nafasi ya mfungaji bora wa klabu hiyo, Sergio Aguero ambaye ataondoka klabuni hapo mkataba wake ukimalizika mwishoni mwa msimu huu.