Martial kuukosa msimu mzima

Martial akionekana kwenye matukio tofauti tofauti akiwa anaugulia goti lake.

Mshambuliaji wa klabu ya Manchester United na timu ya taifa ya Ufaransa, Anthony Martial huenda akakosa michezo yote ya msimu huu mwaka 2020-21 baada ya vipimo kuonesha kuwa ameathiri pakubwa kwenye goti lake na atakuwa nje kwa majuma mengi zaidi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS