Mwakalebela afungiwa kujihusisha na soka
Makamu mwenyekiti wa klabu ya Yanga, Fredrick Mwakalebela amefungiwa kujihusisha na soka na Kama ya maadili ya shirikisho la soka nchini TFF kwa muda wa miaka mitano baada ya kukutwa na makosa ya uchochezi na kusema uongo juu ya mkabata wa mchezaji Bernard Morrison na klabu ya Simba.