Martial kuukosa msimu mzima
Mshambuliaji wa klabu ya Manchester United na timu ya taifa ya Ufaransa, Anthony Martial huenda akakosa michezo yote ya msimu huu mwaka 2020-21 baada ya vipimo kuonesha kuwa ameathiri pakubwa kwenye goti lake na atakuwa nje kwa majuma mengi zaidi.