Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ameitaka Wizara ya Fedha na Mipango kwenda kuongeza idadi ya walipa kodi na kutokutumia nguvu nyingi katika ukusanyaji wa mapato.