Makamu wa Rais Dk. Mpango atoa msisitizo kwa TRA
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango amewataka Watumishi wote wa Umma na Watanzania kufanya kazi kwa Bidii, Uadilifu na weledi pamoja na kumtanguliza Mwenyezi Mungu.