Mafunzo ya JKT yaliweka taifa sawa
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe. Elias John Kwandikwa amesema mafunzo ya kujitolea ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) wanayotoa kwa vijana yana dhamira ya kulifanya taifa likae katika hali nzuri hivyo utaratibu wa kufanya mafunzo ni mzuri.