Baba auwa mke, mtoto na yeye kijiuwa Kamanda wa polisi mkoani Kagera Revocatus Malimi Jeshi la Polisi mkoani Kagera linaendelea kuchunguza tukio la vifo vya watu watatu lililotokea Machi 26, 2021, saa 9:00 usiku katika kijiji cha Mayondwe wilayani Muleba. Read more about Baba auwa mke, mtoto na yeye kijiuwa