Harmorapa kwenye 18 za Alikiba, awa mpole ghafla
Kwa mara ya kwanza msanii Alikiba amekutana na Harmorapa kwenye siku ya mwisho ya kuaga na kutoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano Dkt John Pombe Magufuli huko Wilayani Chato, Mkoani Geita.