Rais Samia amsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu TPA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amemsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari (TPA), Eng. Deusdedit Kakoko kuanzia leo Machi 28, 2021.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS