Mambo yatakayofanyika kabla ya Magufuli kuzikwa

Mwili wa Hayti Dkt. John Magufuli, ukipigiwa saluti na wanajeshi

Leo Machi 26, 2021, ndiyo inahitimishwa safari ya hapa duniani ya aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Dkt. John Magufuli, ambapo atapumzishwa kwenye makaburi ya familia yaliyopo nyumbani kwake Chato.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS