Hesabu ngumu za taifa stars, kufuzu AFCON

Nahodha wa taifa stars Mbwana Samatta

Hatima ya timu ya taifa ya Tanzania taifa stars kufuzu fainali za AFCON kwa mara ya pili mfululizo itajulikana leo usiku itakapo minyana na Equatoria Guinea ugenini, ukiwa ni mchezo wa kundi J mchezo utakao chezwa majira ya Saa 4:00 Usiku.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS