Makonda anajambo la kumuambia Magufuli 

Paul Makonda, aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam

Aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, leo ameandika kauli yake ya kwanza mtandaoni tangu kutokea kifo cha aliyekuwa Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Hayati Dkt. John Magufuli, na kusema kuwa atakapoamka kuna jambo atamuambia.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS