Alichofanyiwa Nyoshi kwenye uongozi wa Magufuli

Kulia ni aliyekuwa Rais Hayati Dkt John Pombe Magufuli na msanii Nyoshi El Sadaat

Raia wa nchi ya Congo DR ambaye ni msanii anayefanya shughuli zake za kimuziki hapa Tanzania Nyoshi El Sadaat amesema tangu Hayati Dkt John Pombe Magufuli alivyoingia madarakani hakusumbuliwa kuhusu ishu ya makazi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS