Alichofanyiwa Nyoshi kwenye uongozi wa Magufuli
Raia wa nchi ya Congo DR ambaye ni msanii anayefanya shughuli zake za kimuziki hapa Tanzania Nyoshi El Sadaat amesema tangu Hayati Dkt John Pombe Magufuli alivyoingia madarakani hakusumbuliwa kuhusu ishu ya makazi.