TAMISEMI sio ngumu- Waziri Ummy 

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe. Ummy Mwalimu

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe. Ummy Mwalimu amesema TAMISEMI si ngumu kama baadhi ya watu wanavyosema isipokuwa ni kubwa lakini utendaji kazi wa pamoja utatoa ugumu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS