Gareth Bale huenda hii ikawa mara ya mwisho

Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Wales, Gareth Bale.

Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Wales, Gareth Bale amesema michezo ya kuwania nafasi ya kufuzu michuano ya kombe la Dunia itakayochezwa usiku wa leo huenda ikawa ndiyo ya nafasi ya mwisho kwake na baadhi ya wachezaji wenzake kutokana na kuwa na umri mkubwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS