Maelfu wajitokeza kuuaga mwili wa Dk. Magufuli

Sehemu ya wananchi waliojitokeza katika Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam, kwa ajili ya kuaga mwili wa Hayati Dkt. John Magufuli

Maelfu ya wananchi wa mkoa wa Dar es Salaam, wakiongozwa na Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, wamejitokeza kwa wingi kuuaga mwili wa aliyekuwa Rais wa Tanzania, Dk. John Magufuli, aliyefariki dunia Machi 17, 2021, katika hospitali ya Mzena kwa tatizo la moyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS