TAKUKURU wamsaidia mwalimu aliyechanganyikiwa
TAKUKURU mkoa wa Katavi imefanikiwa kumrejeshea kiasi cha shilingi milioni 20, Mwalimu mstaafu George Kanyukamalunde, ambaye ameugua ugonjwa wa kuchanganyikiwa mara baada ya kudhulumiwa pesa zake na mtu ambaye alimkopa kiasi cha shilingi milioni 10 baada ya mafao yake kuchelewa.