TAKUKURU wamsaidia mwalimu aliyechanganyikiwa

Kushoto ni mwalimu mstaafu George Kanyukamalunde, akikabidhiwa pesa zake na TAKUKURU

TAKUKURU mkoa wa Katavi imefanikiwa kumrejeshea kiasi cha shilingi milioni 20, Mwalimu mstaafu George Kanyukamalunde, ambaye ameugua ugonjwa wa kuchanganyikiwa mara baada ya kudhulumiwa pesa zake na mtu ambaye alimkopa kiasi cha shilingi milioni 10 baada ya mafao yake kuchelewa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS