Aliyemtungia shairi Rais Samia Suluhu afunguka
Mtunga mashairi ya viongozi Mzee Msafiri Himba amemtungia shairi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ikiwa ni ishara ya kumpongeza kwa kuwa Rais wa kwanza mwanamke kwenye historia ya Tanzania.