Samia aeleza maneno aliyoambiwa na Magufuli
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa wakati anataka kuanza ziara yake mkoani Tanga alimtaarifa aliyekuwa Rais wa Tanzania, Dkt. John Magufuli, ambapo alimuambia kwamba aendelee tu na ziara yake kwani yeye anaendelea vizuri.