Daraja lililojengwa Machi 14 labomoka 

Daraja lililobomoka

Daraja linalounganisha Tarafa za Bulambya na Undali, lililopo wilaya ya Ileje mkoani Songwe, limezidi kuzua taharuki baada ya kujengwa na kudondoka kwa mara ya pili mfululizo hali iliyopelekea wananchi kukosa mawasiliano kwa Tarafa zote mbili.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS