Daraja lililojengwa Machi 14 labomoka
Daraja linalounganisha Tarafa za Bulambya na Undali, lililopo wilaya ya Ileje mkoani Songwe, limezidi kuzua taharuki baada ya kujengwa na kudondoka kwa mara ya pili mfululizo hali iliyopelekea wananchi kukosa mawasiliano kwa Tarafa zote mbili.