Uganda kuomboleza siku 14 kifo cha Magufuli 

Rais wa Uganda Yoweri Museveni, Kulia ni Aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Dkt. John Pombe Magufuli

Rais Yoweri Museveni wa Uganda amesema nchi yake inaungana na Watanzania kuomboleza kifo cha aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na kutangaza siku 14 za maombolezo ambapo bendera zote zitapepea nusu mlingoti.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS