Mbowe atoa wito huu kwa Watanzania
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe, amewaomba wanachama na wafuasi wote wa chama hicho waliondani ya nchi na nje ya nchi kuiombea familia ya Rais Magufuli, pamoja na kumuombea Mama Samia, ili aweze kusimama katika haki na kweli kwenye kuliponya Taifa.