Mbowe atoa wito huu kwa Watanzania 

Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe, amewaomba wanachama na wafuasi wote wa chama hicho waliondani ya nchi na nje ya nchi kuiombea familia ya Rais Magufuli, pamoja na kumuombea Mama Samia, ili aweze kusimama katika haki na kweli kwenye kuliponya Taifa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS