AJ ajipanga kummaliza Tyson Fury

Antony Joshua akimshambulia mpizani wake kwenye moja ya mapambano yake

Mratibu wa mapambano ya bondia Antony Joshua Eddie Hearn, amethibitisha kuwa bondia huyo ameaanza maandalizi ya kujiandaa na pambano dhidi ya Tyson Fury, lakini pia tarehe na sehemu pambano hilo litakapo fanyika itathibitishwa wiki ijayo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS