Jurgen Klopp, Liverpool bado sana Ubingwa UEFA
Kocha wa Liverpool, Jurgen Klopp amesema timu yake bado haina nafasi ya kubebea ubingwa wa michuano ya ligi ya mabingwa barani Ulaya licha ya kufuzu kwa kishindo kwa kuwafunga RB Leipzig ya Ujerumani mabao 2-0 usiku wa jana kwenye mchezo wa hatua ya 16 bora wa michuano hiyo.