Simba dhidi ya TZ Prisons, Manula arejea kikosini

Mlinda mlango wa Simba, Aishi Manula.

Mlinda mlango wa kikosi cha wekundu wa msimbazi Simba, Aishi Manula amerejea kwenye kikosi cha kwanza ambacho saa 1:00 usiku wa leo kinataraji kushuka dimbani kucheza dhidi ya wajela jela klabu ya TZ Prisons kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS