RC Mbeya aomba wagawane takwimu VVU

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Albert Chalamila akiongea

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila, amesema anaandaa kikao na Mkuu wa Mkoa wa Songwe ili kugawana takwimu za maambukizi ya Virusi vya Ukimwi VVU kama walivyogawana mali na vitu vingine wakati wanaugawa Mkoa wa Mbeya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS