Waziri Mkuu aridhishwa na mapambano dhidi ya Nzige

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akiangaliwa Nzige walioangamizwa katika kijiji cha Engaruka Monduli

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, amesema ameridhishwa na kazi kubwa ya kupambana na makundi ya Nzige yaliyovamia nchini iliyofanywa na Wizara ya Kilimo kwa kushirikiana mashirika mawili ya kupambana na Nzige barani Afrika.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS