Rais wa Barcelona ashikiliwa na Polisi

Rais wa zamani wa Barcelona, Jose Maria Bartomeu.

Rais wa zamani wa Barcelona Jose Maria Bartomeu anashikiliwa na polisi nchini Hispania baada ya kuhusishwa na tuhuma ya kurubuni makampuni mbalimbali ya mitandao ya kijamii kuandaa kampeni maalum ya kuwashambulia watu na taasisi zilizokuwa zinapinga utawala wa Rais huyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS