"Akipata 'Division One' nampa Insta yangu" - Nisha

Msanii wa filamu Nisha Bebe

Kumekuwa na utaratibu kwa mzazi kumuahidi vitu mtoto wake kama njia ya kumshawishi ili afanye vizuri kwenye masomo, sasa msanii wa filamu Nisha Bebe ametoa kali ya mwaka kwa kusema mtoto wake akipata 'Division One' atampa akaunti yake ya mtandao wa Instagram.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS