“Nitafagia Askari wote”- Waziri Simbachawene

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene.

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene, amesema askari watakaoshindwa kuwabaini Wahamiaji haramu hususani maeneo ya mipakani wanapoingilia watawajibishwa ikiwemo kuondolewa kazini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS