Namibia na Tanzania zaweka rekodi makundi CHAN

kiungo wa timu ya Taifa ya Zambia Collins Sikombe akiifungia zambia bao la kwanza kwa mkwaju wa penati kwenye ushindi wa bao 2-0 dhidi ya timu ya taifa ya Tanzania Taifa stars

Kundi la timu ya taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kundi D, kwenye michuano ya CHAN, limeweka rekodi ya kuwa na mabao mengi kuliko makundi yote tangu kuanza kwa michuano hiyo, inayoendela nchini Cameroon, kundi hilo limezalisha jumla ya mabao 5 kwenye michezo 2.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS