Namibia na Tanzania zaweka rekodi makundi CHAN
Kundi la timu ya taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kundi D, kwenye michuano ya CHAN, limeweka rekodi ya kuwa na mabao mengi kuliko makundi yote tangu kuanza kwa michuano hiyo, inayoendela nchini Cameroon, kundi hilo limezalisha jumla ya mabao 5 kwenye michezo 2.