Alaba Kutua Madrid, hatma ya Ramos mashakani
Inaripotiwa kuwa beki wa Bayern Munich David Alaba amefikia makubaliano ya kujiunga na klabu ya Real Madrid ya Hispania mwishoni mwa msimu huu pindi atakapomaliza mkataba na miamba hiyo ya Ujerumani na atasaini mkataba wa miaka 4 na Los Blancos.